UWEZO WA MUNGU(Swahili Edition)

by Lee, Jaerock
ISBN: 9791126311958
Availability:
null

Available Offers


Pickup at {0} Out of stock at {0} Check other stores
FREE
Ship to Me
$3.99

Overview

Kwani mimi binafsi nimepata furaha na raha katika uhuru kutoka kwa miaka saba ya magonjwa na maumivu, ili niwe mtumishi mwenye uwezo anayefanana na Bwana, nilifunga na kuomba kwa siku na nyakati kadha baada ya kuitwa ili niwe mtumishi wa Bwana. Yesu anatuambia katika Marko 9:23, "'Ukiweza?' Yote yawezekana kwake aaminiye." Pia niliamini na kuomba kwa sababu nilishikilia ahadi ya Yesu, "[Yeye] aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa Baba" (Yohana 14:12). Kwa kupitia Mikutano ya Uvuvio ya kila mwaka, Mungu ametuonyesha ishara na maajabu ya kushangaza na ametupa uponyaji na majibu yasiyoweza kuhesabika. Zaidi ya hayo, wakati wa wiki ya pili ya Mkutano wa Uvuvio wa mwaka wa 2013, Mungu aliweka msisitizo wa dhihirisho la uwezo wake juu ya vipofu, viwete, viziwi na mabubu.


  • Format: Trade Paperback
  • Author: Lee, Jaerock
  • ISBN: 9791126311958
  • Condition: New
  • Dimensions: 8.25 x 0.46
  • Number Of Pages: 218
  • Publication Year: 2023
Language: Swahili